Mlo wa mchana supu ya ndizi

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
33,913
Reaction score
67,435
Hell

Kwanza niliandaa ndizi zangu vizuri kama unavyo ziona wakat uho nyama ipo jikoni ina ivaa

Kisha baada ya nyama kuiva nika weka karoti ya kusaga na ndizi

Then nilitenga supu ile ya kwanza supu og ile nzitooo nikaweka mwishoni

Ika tokota kidogo tu mambo yakawa bam bam

Bashiri kidogo usihau na kalimao kidogo na pilipili ili muasho upatikane

Guys jifunzeni kupika mule kile kitu roho inapenda na akili ina taka
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…