Mliyoiona filamu ya "Leave The World Behind Movie", njooni tuichambue

Dejane

JF-Expert Member
Jan 1, 2014
49,660
68,630
Nyie watu wapenzi wa movie aloangalie hii achambue ni kama inatisha hivii na ina code kibao hivi wachambuzi mkuje tuchambue hii movie sio mpira tu

IMG_1728.jpg
 
Hiyo movie inahusishwa sana na tukio litakaloikumba dunia siku si nyingi sana likihusisha
👉kukatika kwa umeme,
👉 kutokupata mtandao
👉 na vurugu za wenyewe kwa wenyewe zitazotokana na hizo sababu mbili tajwa hapo juu

Hili tukio litadhibitisha pia ni namna gani dunia ipo controlled na hawa jamaa wa World Orders
Kama ambavyo waliamua corona ije na iondoke kama upepo, kama walivoamua vita vya Urusi na Ukraine na pia kama walivyoamua vita vya israel na Hamas

Lets wait and see
 
Hiyo movie inahusishwa sana na tukio litakaloikumba dunia siku si nyingi sana likihusisha
kukatika kwa umeme,
kutokupata mtandao
na vurugu za wenyewe kwa wenyewe zitazotokana na hizo sababu mbili tajwa hapo juu

Hili tukio litadhibitisha pia ni namna gani dunia ipo controlled na hawa jamaa wa World Orders
Kama ambavyo waliamua corona ije na iondoke kama upepo, kama walivoamua vita vya Urusi na Ukraine na pia kama walivyoamua vita vya israel na Hamas

Lets wait and see

Kuna sehem yule jamaa mweusi kasema kuna group la watu linacontroll kila kitu hapa dunian
 
Aisee, hii movie inaongea mambo mengi sana. Nje ya yale aliyoyagusia Baba nanihilo;
👉kukatika kwa umeme,
👉 kutokupata mtandao
👉 na vurugu za wenyewe kwa wenyewe
...kuna mengineyo mengi. Mfano. Stereotypical hili neno limenipita kwa kiswahili, lakini linamaanisha 'miundo isiyobadilika'

Sasa basi, utaona ni jinsi gani Miundo hii ilivyo ndani ya Jamii za wazungu, na Waafrika na mfano mzuri ndani ya movie hii ni 'Itikadi'. Yapo mengine mengi na Kwa kifupi ni kuwa na mtazamo tofauti(usiobadilika) wa wengine, na hapa, ni baina ya mzungu na mwafrika.
 
Stereotypical hili neno limenipita kwa kiswahili, lakini linamaanisha 'miundo isiyobadilika'
Fastforward, nipo ndani ya mjengo wa wazungu. Kitu cha kwanza unaona jinsi ukuta ulivyo na ufa, na rangi ukutani imekua kama leya za keki!

Kama stereotyper, tayari nilishaona kuwa hawa Wazungu hawana chochote(kwa maana kwamba sio matajiri) kama tunavyoaminishwa. Wako kwenye mjengo wa Kizamamni, ukuta una ufa, rangi hovyo, na kuna vurugu chumbani.

Scene hii ilimaliziwa na "I fuc**ng hate people" Stereotypical ya Mwanadamu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom