Fazz
JF-Expert Member
- Mar 14, 2019
- 362
- 571
Hallo wana jf hop mko poa na mnaendelea kuchukua tahadhari dhidi ya korona yes ni jambo muhimu sana
Nimeandika uzi huu ili kukumbushana kwamba japo tunachukua tahadhar dhid ya covid19 pia inatupasa kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya magonjwa mengine kama
1. Ukimwi aka baba lao
2. Malaria bd ipo na inaua
3.Kisukari yess tumejisahau mlo na wengi hatufanyi mazoezi. Bado kisukari kipooo
4.Blood pressure
5.Kipundupindu nk
Na mengine mengiiiiiii sn.
#stay safe
Nb; mnaokaa mabondeni mtapon koron mafuriko yatawaua msipochukua tahadhari
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeandika uzi huu ili kukumbushana kwamba japo tunachukua tahadhar dhid ya covid19 pia inatupasa kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya magonjwa mengine kama
1. Ukimwi aka baba lao
2. Malaria bd ipo na inaua
3.Kisukari yess tumejisahau mlo na wengi hatufanyi mazoezi. Bado kisukari kipooo
4.Blood pressure
5.Kipundupindu nk
Na mengine mengiiiiiii sn.
#stay safe
Nb; mnaokaa mabondeni mtapon koron mafuriko yatawaua msipochukua tahadhari
Sent using Jamii Forums mobile app