Mlipuko Mkubwa watokea katika Kiwanda cha kutengenezea Makombora uko Israel

Iran hawajafanya chochote embu soma upya hayo yalikuwa majaribio ya silaha
Ushabeki ukizidi mtu anajikuta anasema lolote kufurahisha nafsi - tangu lini majaribio ya silaha yakafanyika kiwandani?

Majaribio ya kutumia computer ku-simulate milipuko ambayo ni virtual not real one hiyo yes, lakini hapa Israel imekili kwamba uharibifu/mlipuko ulikuwa real - kwa nini to rule out Iranian sabogate, au mnafikiri Israel ni untouchable?

Hata Trump mwanzoni alipuuzia onyo la Iran kuhusu ulipizaji kisasi wa mauuaji wa Jeneral wao, sasa nini kilikuja kutokea baadae, Wairan walitekeleza ahadi zao kwa kushambumbulia vikali makambi mawili ya jeshi la Merikani ikiwemu na ranways pia wanajeshi karibu 180 walijeruhiwa licha ya kuwa wamejichimbia mahandakini uharibifu ulikuwa mkubwa sana. Mbona hatukuona Trump anajibu mapigo, unataka kusema jeshi la Israel lina uwezo mkubwa kuliko jeshi la Merikani ndio maana Iran hajalikipiza kisasi dhidi ya Israel - far from it - Iran itakuja kuwashangaza wengi na uzuri wake hatishwi na taifa lolote hapa Duniani.
 
Tumia akili ya kuzaliwa kusiwe na injuries kwenye kiwanda kwa mlipuko mkubwa kama ule walikua wanatumia remote kuendesha hicho kiwanda wao wanakaa mbali...wayahudi huwa hawapendi kutangaza vifo mara nyingi yanapotokea matatizo ya kibinadamu..
wewe jamaa ni genius
 
Ushabeki ukizidi mtu anajikuta anasema lolote kufurahisha nafsi - tangu lini majaribio ya silaha yakafanyika kiwandani?

Majaribio ya kutumia computer ku-simulate milipuko ambayo ni virtual not real one hiyo yes, lakini hapa Israel imekili kwamba uharibifu/mlipuko ulikuwa real - kwa nini to rule out Iranian sabogate, au mnafikiri Israel ni untouchable?

Hata Trump mwanzoni alipuuzia onyo la Iran kuhusu ulipizaji kisasi wa mauuaji wa Jeneral wao, sasa nini kilikuja kutokea baadae, Wairan walitekeleza ahadi zao kwa kushambumbulia vikali makambi mawili ya jeshi la Merikani ikiwemu na ranways pia wanajeshi karibu 180 walijeruhiwa licha ya kuwa wamejichimbia mahandakini uharibifu ulikuwa mkubwa sana. Mbona hatukuona Trump anajibu mapigo, unataka kusema jeshi la Israel lina uwezo mkubwa kuliko jeshi la Merikani ndio maana Iran hajalikipiza kisasi dhidi ya Israel - far from it - Iran itakuja kuwashangaza wengi na uzuri wake hatishwi na taifa lolote hapa Duniani.
Iran sio wa kupuuzwa
 
"The explosion occurred during a routine test at the Tomer factory for advanced weapons, which develops rocket engines and houses various types of missiles," Haaretz newspaper said.

Zingatia hayo maneno in red. La muhimu zaidi "there were no injuries". Ajali pahala pa kazi (factory) ni mambo ya kawaida sana. "Large explosion in a missile factory" halafu hakuna majeruhi sio mchezo mchezo; akili nyingi zimetumika hapo! Ingekuwa ni kazi ya waajemi ningewasifu kwa "weledi" wao pia; bahati mbaya habari nao (waajemi) wamezisikia kupitia media kama wewe tena masaa kadhaa baada ya tukio.
Je ni lini Israel Alishatoa taarifa za damage kubwa yenye Majeruhi au Vifo. Naona Myahudi wa Bunju UNADEMKA tu
 
Ushabeki ukizidi mtu anajikuta anasema lolote kufurahisha nafsi - tangu lini majaribio ya silaha yakafanyika kiwandani?

Majaribio ya kutumia computer ku-simulate milipuko ambayo ni virtual not real one hiyo yes, lakini hapa Israel imekili kwamba uharibifu/mlipuko ulikuwa real - kwa nini to rule out Iranian sabogate, au mnafikiri Israel ni untouchable?

Hata Trump mwanzoni alipuuzia onyo la Iran kuhusu ulipizaji kisasi wa mauuaji wa Jeneral wao, sasa nini kilikuja kutokea baadae, Wairan walitekeleza ahadi zao kwa kushambumbulia vikali makambi mawili ya jeshi la Merikani ikiwemu na ranways pia wanajeshi karibu 180 walijeruhiwa licha ya kuwa wamejichimbia mahandakini uharibifu ulikuwa mkubwa sana. Mbona hatukuona Trump anajibu mapigo, unataka kusema jeshi la Israel lina uwezo mkubwa kuliko jeshi la Merikani ndio maana Iran hajalikipiza kisasi dhidi ya Israel - far from it - Iran itakuja kuwashangaza wengi na uzuri wake hatishwi na taifa lolote hapa Duniani.

..kuna kamanda wa Marekani amenukuliwa akisema kuwa kama askari wao wangekufa kutokana na shambulizi la Iran basi wangelazimika kuingia vitani dhidi ya Iran.
 
A powerful explosion has rocked a sensitive Israeli missile factory during a test for advanced weapons, according to a report.

The explosion took place on Tuesday during a 'routine test' by the Tomer factory for advanced weapon, Israel's Haaretz daily newspaper reported on Wednesday.

There have been no reports of casualties so far. The factory develops rocket engines and houses various types of missiles.
Locals said they heard an explosion and saw a mushroom cloud at the weapons manufacturing facility, which is located in the central city of Ramla and produces rocket and missile systems used by the Israeli military.

Tomer’s offices are located in proximity to residential areas. “This was a controlled test with no exceptional circumstances,” Tomer claimed in reaction to the blast.

Meanwhile, Haaretz said officials may have underestimated the “collateral damage” of the test, which led to the explosion.
Investigations into the cause of the incident has been launched.

Established in 2018, Tomer is affiliated to the Israeli ministry of military affairs and is the manufacturer of a new ballistic missile system, the Arrow-4.

Israel’s Arrow-2 and Arrow-3 missile systems are already operational to intercept incoming missiles in the atmosphere and space.
Back in February, Israel announced that it was developing the Arrow-4 with the United States.

“The development of Arrow-4 together with our American partners will result in a technological and operational leap forward, preparing us for the future battlefield and evolving threats in the Middle East and beyond,” Israeli minister of military affairs Benny Gantz said in a statement at the time.

Mpaka sasa hakuna sababu iliyotolewa ya nini kimesababisha mlipuko huo..
hii itakuwa ndiyo imesababisha JOBO
 
Ushabeki ukizidi mtu anajikuta anasema lolote kufurahisha nafsi - tangu lini majaribio ya silaha yakafanyika kiwandani?

Majaribio ya kutumia computer ku-simulate milipuko ambayo ni virtual not real one hiyo yes, lakini hapa Israel imekili kwamba uharibifu/mlipuko ulikuwa real - kwa nini to rule out Iranian sabogate, au mnafikiri Israel ni untouchable?

Hata Trump mwanzoni alipuuzia onyo la Iran kuhusu ulipizaji kisasi wa mauuaji wa Jeneral wao, sasa nini kilikuja kutokea baadae, Wairan walitekeleza ahadi zao kwa kushambumbulia vikali makambi mawili ya jeshi la Merikani ikiwemu na ranways pia wanajeshi karibu 180 walijeruhiwa licha ya kuwa wamejichimbia mahandakini uharibifu ulikuwa mkubwa sana. Mbona hatukuona Trump anajibu mapigo, unataka kusema jeshi la Israel lina uwezo mkubwa kuliko jeshi la Merikani ndio maana Iran hajalikipiza kisasi dhidi ya Israel - far from it - Iran itakuja kuwashangaza wengi na uzuri wake hatishwi na taifa lolote hapa Duniani.
Punguza mahaba ya kidini umeitukuza sana Iran
 
Back
Top Bottom