dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 22,130
- 49,391
"The explosion occurred during a routine test at the Tomer factory for advanced weapons, which develops rocket engines and houses various types of missiles," Haaretz newspaper said.Tuliwaambia humu mkabisha ona sasa mnavyolialia
Zingatia hayo maneno in red. La muhimu zaidi "there were no injuries". Ajali pahala pa kazi (factory) ni mambo ya kawaida sana. "Large explosion in a missile factory" halafu hakuna majeruhi sio mchezo mchezo; akili nyingi zimetumika hapo! Ingekuwa ni kazi ya waajemi ningewasifu kwa "weledi" wao pia; bahati mbaya habari nao (waajemi) wamezisikia kupitia media kama wewe tena masaa kadhaa baada ya tukio.