Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,137
- 48,364
Mlipuko mkubwa watokea huko Iran kwenye eneo la Bandari Abbas.
Vyombo vya habari vya Iran vinakadiria zaidi ya watu 406 wamejeruhiwa na mlipuko huo.
Inahisiwa mlipuko huo uliotokea kwenye bandari hiyo maarufu ya Iran inawezekana umetokana ama na madawa yenye kulipuka au na vimiminika lipushi!