Mlipuko Arusha na kauli ya Kardinali Polycarp Pengo

Status
Not open for further replies.

kisimani

JF-Expert Member
Aug 24, 2011
550
154
Habari wana JF,

Wengi natumaini mnakumbuka kauli ya Kardinali Polycarp Pengo punde tuu baada ya Mlipuko kanisani Olasiti. Pengo alisema anataarifa zisizo na shaka kutoka vyanzo anavyoviamini kuwa tukio la Olasiti SI TUKIO LA KIDINI.
Wengi tulishangaa na pengine kauli ile kupita masikioni mwetu bila kutafakari.

Leo hii limetokea tena tukio kama la Olasiti (kanisani), safari hii kwenye mkutano wa chadema. Kama ni mtu wa kuunganisha dots, natumaini utaanza kuelewa kauli ya Pengo.

Kwa weledi wangu wa kuelewa na taarifa nilizonazo zisizo na mashaka ni kuwa matukio yote mawili yamefanywa KISIASA.

Nitaanza na tukio la kanisani (Olasiti).....Serikali iliamua kufanya tukio hilo ili kusawazisha chuki kati wa wakristu na serikali hasa baada ya matukio mengi ya kuuwawa mapadre na uchomaji wa makanisa lengo likiwa "wanaofanya ugaidi kwenye makanisa si "waislamu tuu". Na ndio maana Pengo amesisitiza sana UKWELI uwekwe wazi...

Tukio la Chadema.....serikali (CCM).....imeamua kutenda hayo ili kuvuruga uchaguzi na kuwaonyesha wananchi CDM ni chama cha vurugu.

Hivi ni vitendo vya kijinga sana vinavyoendelea ndani ya nchi yetu. Kumbuka Ulimboka, Mwakyembe , Mwangosi , Kibanda na mengine Mengi. Ni jukumu la kila Mtanzania kujitambua, wapi tulipo, wapi tunakwenda na ni nini cha kufanya.
 
Mkuu, chadema mnahangaika sana kutengeneza mazingira ili kukwepa kukumbana na ukweli. lakini mjue kuwa mwisho wenu umekaribia na mtaumbuka punde si punde
 
Pengo mwenyewe yupo we unajifanya kutoa tafsiri ambayo haina uhalisia. ukweli ni kwamba chadema mnahusika na matukio yote mawili
 
Inawezekana maana tiis walikuwa wapi na wanafanya nn hadi tukio linatokea hasa ukizingatia serikali nyingi hutumia tiss kufanikisha hayo yote, hii si serikali tena ni maadui wa wananchi, na siku zote hakuna kiongozi anayepambana na raia wake waliomweka hapo akafanikiwa.shem o jk's government
 
mkuu, chadema mnahangaika sana kutengeneza mazingira ili kukwepa kukumbana na ukweli. lakini mjue kuwa mwisho wenu umekaribia na mtaumbuka punde si punde

Atakayewaumbua ni nani binti? Na nyie mna serikali, kwa nini msikamate hao chadema kama mnaushahidi?
 
pengo mwenyewe yupo we unajifanya kutoa tafsiri ambayo haina uhalisia. ukweli ni kwamba chadema mnahusika na matukio yote mawili

Usiwe na ubishi wa kijinga, kama CDM inahusika, kwa nini serikali yako inakuwa na kigugumizi cha kukamata hao CDM?? Mbona usalama ni wao? Polisi ni wao? JWTZ ni wao?? au ndio tuseme ni dhaifu??? Jitambue kijana..
 
Hata wakati cuf kwa upande wa zanzibar ccm waliwahi fanyakituko cha kupaka kinyesi kwenye darasa na kuishtum cuf
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom