Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,638
Kila nikiungalia umri wangu naona unazidi kwenda na bado kimaisha sijajipanga vizuri haswa kiuchumi bado sijawa stable kuwa na kipato cha uhakika kuendesha familia.
Hivyo basi kwa wale wana nzengo ambao mliowahi kuwapa mabinti mimba ikiwa kimaisha bado hamkujipanga Hebu tuelezeni vizuri.
Mliwezaje kuvuka hatua hii baada ya kutia mimba wakati maisha hayajasimama na kimaisha familia wakati hamkuwa vizuri.
Hivyo basi kwa wale wana nzengo ambao mliowahi kuwapa mabinti mimba ikiwa kimaisha bado hamkujipanga Hebu tuelezeni vizuri.
Mliwezaje kuvuka hatua hii baada ya kutia mimba wakati maisha hayajasimama na kimaisha familia wakati hamkuwa vizuri.