TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,514
- 11,276
Jamani mimi ni miongoni mwa tuliopitia maisha ya shule pale Jitegemee JKT (Jiteute). Tukumbushane kidogo kuhusu yaliyojiri tukiwa pale kama mambo ya kwata (for the new comers), kukimbia smart Area, pamoja na maafande na waalimu mbali mbali na vituko vyao. Binafsi nawakumbuka Bwenge na Afande Bruno walivyokuwa na mikwara.
Nawakilisha.
Nawakilisha.