na simbachawene akijifanya mjuwaji tunatia fitna!Watanzania mlio wachache mnashangaza sana.
Hivi mnafurahia lulu ile kuondoka katika uongozi? amma kwa hakika tuna safari ndefu ya kwenda.
Na Mengi asifikiri Simbachewene ndiyo ata bow down. Maawe! labda Rais si Kikwete.
Sisi tunaijua fitna banaaa..unatuletea usomi mbuzi wako unatukana tukana watu eti wakatengeneze juice si kuchimba gas!! Mtu mwenyewe mwepesiiii Ka ubua!!fitina huwezi...tumepiga fitnaa..tumekamulia na ndimu...umebanaaaa..ukaachia mara waya!"!! Mtoto mdogo sana we we..kawaulize kina masilingi.na bado tutahakikisha unakuwa konda mjini hapa
prove it!Ni Rais pekee na wa kwanza Tanzania hii ambae hajawekwa madarakani na Nyerere.
Ni Rais pekee na wa kwanza Tanzania hii ambae hajawekwa madarakani na Nyerere.
Nakuona toilet paper ya ACT
Baba yako ameiibia sana Nchi, Hata ela aliyokusomeshea marekani ni pesa ya wizi wa kodi zetu, Ni fisadi papa. Kama sio huruma ya Jk angekuwa amenyongwa sasa hivi
Kwahiyo umekiri wazi wazi mswahili mwenzenu ni MTU mwenye huruma dhidi ya wezi?
Kwahiyo ndio maana nchi inateketezwa na wezi kwaajili ya huruma yake? Dini yake inamfundisha kuwa na staha mbele ya wezi?
Kumbe ndio maana akina Singa singa wanatujambishia mitaani kwakuwa JK anahurumia Sana wezi...
2015 CCM inasimamisha mkristo tutaona upuuzi na unafiki wenu waswahili Wa kamsamba
LUSUNGO naomba ieleweke kuwa sio waislam wote wanaofurahia huu ujinga unaofanywa na Rais wa hii nchi. Amesikitisha na amefedhehesha sana. Nani anayefurahia km sio Faiza peke yake? Huyu Rais nchi imemshinda na aende zake. Sio kila muislam atafanya huu ujinga wa JK.
Kwa mujibu wa gazeti la Mawio Ridhiwani Kikwete alinukuliwa akisema kuwa hakuna Waziri atakae jiuzulu. Pia ni baadhi ya Hawa waliowahi kutamuka kuwa Rais hatatoka kaskazini. Tusubiri tamthilia inaendelea..........Sisi tunaijua fitna banaaa..unatuletea usomi mbuzi wako unatukana tukana watu eti wakatengeneze juice si kuchimba gas!! Mtu mwenyewe mwepesiiii Ka ubua!!fitina huwezi...tumepiga fitnaa..tumekamulia na ndimu...umebanaaaa..ukaachia mara waya!"!! Mtoto mdogo sana we we..kawaulize kina masilingi.na bado tutahakikisha unakuwa konda mjini hapa
Usihangaike na hao domokaya, debe tupu haliwachi kutika! Waache wapige domo, halimnyimi Mengi usingizi, Muongo ameshatinduliwa inatosha, that was the critical agenda, hawa wengine are inconsequential; wanaompenda Sana Muongo wakaogelee nae huko ufukweni akatulize ubongo wake wa miamba na vumbi wakati akijipanga hatua yake ifuatayo. Sisi tumeshamalizana nae!