Mliopo Arusha (Arumeru) interview lini za usimamizi wa Uchaguzi??

Saoka

JF-Expert Member
Oct 23, 2018
404
563
Habari, vipi kwa wale waliopo Arusha hususani Wilaya ya Arumeru majina wanatangaza lini ya usimamizi uchaguzi maana mpaka sasa sina taarifa zozote yani.

Kwa wenye taarifa watujuze tu ndugu zangu.
 
Kama mpaka sasa hujapigiwa simu, bc hesabu kuwa huna chako tena hapo.
Pia waalimu ndio wanapewa kipaumbele
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom