Mliomshauri rais mmempotosha

Na akichanganya na zake ndio balaa kabisa.
Ni jambo la kutia moyo kwamba kiwango cha maambukizi ya UKIMWI kinashuka mwaka hadi mwaka kutokana na shughuli za Mwenge-Profesa Jakaya Kikwete ( Tabora 2014).Kwa kweli hii signature yako ndo imenifurahisha sana
 
Mbona umenipa jibu jepesi sana,hivi hudhani kwamba ubadhilifu unaofanywa na viongozi ndo chanzo cha umeme kuwa wa gharama?moja ya watu waliosain na IPTL ni nani?maana anahusika na ujinga huu wa leo
 

Aiseee! Sina mbavu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…