Jipya litoke wapi Kiongozi.Mlioko jikoni je kuna jipya au tutegemee Nil.Povu ruksa
Ulichokiandika unakijua???wakati mwingine kuliko kuropokaropoka ujinga ni bora tu ukae kimya kuficha ujinga wakoTunakusanya 1.3 trion moja na hizo bilion 3. mishahara bilioni tano tunalipana.Madeni ya ndani & nje bilion 5 inabaki 3 tu ya maendeleo ambayo ujenzi wa mabarabara,ujenzi wa zahanati,ujenzi wa reli ya SGR ujenzi wa bwawa la kuzalisha umeme ko kama unaakiri huwez ulizia ongezeko la mshahara tunachokusanya kidogo tunakitumia kulipana mishahara hatutaendelea kwa namna hii suala la mshahara tulieni tu itaongezwa lkn si sasa.
Hahaaaahakuna utumwa mbaya kama kutegemea mshahara, ongeza kipato kwa kufanya biashara
Unaandika vitu usivyovijua....kinachokuja tu kichwani kwako chochote unaandika...yaani wewe mkuu hujui chochote...kwahiyo kwa akili zako jumla ya mishahara ni bilioni tano or sjui tatu ulizoandika wewe??hebu Andika nilichokosea mm basi ili tuone huo uelevu wako ww...
Umetumwa ww si bureTunakusanya 1.3 trion moja na hizo bilion 3. mishahara bilioni tano tunalipana.Madeni ya ndani & nje bilion 5 inabaki 3 tu ya maendeleo ambayo ujenzi wa mabarabara,ujenzi wa zahanati,ujenzi wa reli ya SGR ujenzi wa bwawa la kuzalisha umeme ko kama unaakiri huwez ulizia ongezeko la mshahara tunachokusanya kidogo tunakitumia kulipana mishahara hatutaendelea kwa namna hii suala la mshahara tulieni tu itaongezwa lkn si sasa.
Unauhakika mkuu?Jipya lipo ni 45%
Maeneo mengine hawataki maendeleo?Jipya litoke wapi Kiongozi.
Hatuwezi kuacha vitu muhimu kwa nchi kama:
Chato International Airport
Chato Referral Hospital
Chato Stadium
Chato National Park na barabara zake
Bado kuna vitu vingine muhimu kama SGR, Stieglers Gorge nk.
Absolutehakuna utumwa mbaya kama kutegemea mshahara, ongeza kipato kwa kufanya biashara
Ni akili za panzi kudhani kuwa kila mtu anaweza kuwa mfanyabishara au kila mtu anaweza kujiajiri.Wenye biashara mbona wanafunga
Unaandika vitu usivyovijua....kinachokuja tu kichwani kwako chochote unaandika...yaani wewe mkuu hujui chochote...kwahiyo kwa akili zako jumla ya mishahara ni bilioni tano or sjui tatu ulizoandika wewe??
Jua kutofautisha kati ya kutoa maoni yako na kutoa data zisizo za kweli...wewe umeandika vitu usivyovijua na upotoshaji...umeandika mwenyew kuwa ati serikali inatumia bilioni tano kulipa mishahara...unaijua bilioni tano wewe...kwa hiyo unavyofikiri mkuu bilioni tano inatosha kulipa mishahara ya wafanyakazi...siku nyingine toa data ambazo unauhakika nazo....any way iam so sorry kama nimekukwaza katika ukosoaji wangumkuu hayo ni mawazo yangu yaheshimu pia kama ww mwelevu sana ungetoa maelezo yako tuyaone pale unaposema mm nimeandika vitu nisivovijua hebu andika vyako unavyovijua.