Huyu jamaa amesahau mkuu alichofanya wizara ya afya? Hatamtengua CAG ili aone mwisho wakeNafikiri bwana mkubwa mjengoni pale anatatizo fulani, na kama atakosa ushauri mzuri basi tutegemee kuyaona mengi sana katika kipindi chake kichache kilichobaki kuliko tuliyoyaona muda uliopita.
Ukimcheki toka ule uchaguzi wa ndani wa ccm, alionekana kuwa mkali mpaka akamzimisha kwa muda mwenzake kwa kumtandika bakora, lakini cha kushanganza baada ya kuingia mjengoni akaendelea kujisifia kuwa kwao ugogoni kutumia bakora ni sahihi na aliendelea kujisifu badala ya kuomba msamaa kwa kosa alilomfanyia mwenzake.
Vitisho viliendelea tena, kwa Zitto, kwamba angeweza hata kumfungia asitinge mjengoni hata kwa kipindi chote cha miaka mitano. Mifano mingine ni hili la akina Mdee na Lema.
Kwa hali ya kawaida, sidhani kama hili linaanzia hapohapo Mjengoni, kuna uwezekano mkubwa sana lina relate na family matters, yaani kama haupo na furaha kutoka nyumbani kuanzia watoto wako, mweza wako na wanaokuzunguka basi ni vigumu sana muda mwingine kuweza kumudu kazi za kiofisi. Sisi wa maofisini tunayaona haya kila siku.
Kuhusu hili la Prof, litamsumbua sana ndugu huyu kwa sababu ya msimamo wa Prof na ndiyo maana anafanya juu chini hata kumchonganisha na ndugu Rais ili jamaa aachie ngazi na iwe furaha yake na pengine atasimama pale Mjengoni na kusema kazi amemaliza na kujisikia wa furaha zaidi. Lakini what will be next kama hasipojiuzuru? Je kejeri juu ya Prof zitaendelea ama atatafuta angle nyingine na hata ya kukwamisha shughuli za Serikali kiasi kwamba Prof atoke tu.
Ingalikuwa ndani ya mjengo kungalikuwapo na idadi ndogo sana ya wale wa ndiyo basi ningalishauri wamuondoe ndugu huyu kwa kupiga kura ya kutokuwa na imani nane.
kweli kabisaaaa umenenaMpango wao ulikuwa kumfrustrate CAG kisha ajiuzulu ,baada ya kuona mpango wao umebuma ndio Ndugai kaamua kutamka kabisa hadharani wanachokitaka kwa Assad yeye na anayemtuma .
Sio kwa utawala huu aisee.Inawezekana..
YEYE spika ndie anaempa wakati mgumu RAIS..
Kumuondoa SPIKA ni jambo jepesi zaidi ya kumuondoa CAG..
Nasimama na mwenyekiti wa vijana UVCCM..
Ndio maana wanasemaga uwongo hauna maisha marefu mkuu!!!Kauli ya Spika inatoa tafsiri kwamba Raisi anachukizwa kuona matumizi mabaya ya fedha zetu, yakiwekwa hadharani!
Hii inamaanisha Rais anasimama upande wa wanyongaji na sio upande wa wanyonge kama ambavyo tumekuwa tukiaminishwa.
Kusema kweli inaumiza na kuleta maswali mfulululizo kichwani kuhusu hawa viongozi wetu!
Rais wakoKwa jicho la tatu. Hiki ndicho kipimo cha hekima ya raisi wetu.
not but pray.
Hakuna Kauli ya Mheshimiwa Spika Job Ndugai ‘ iliyonitisha ‘ kama hii aliyoitoa ambayo nainukuu hapa isemayo…” CAG Assad anampa wakati mgumu sana Mheshimiwa Rais ajiuzuru tu mwenyewe “.
Baada ya kujua kuwa Rais siyo tu Ndugu John Pombe Joseph Magufuli bali ni Taasisi ambayo ina Watu wengi au Vyombo husika hapo ndani yake nilipoirudia hii Kauli ya…” CAG Assad anampa wakati mgumu sana Mheshimiwa Rais ajiuzuru tu mwenyewe “ Mimi kama GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE nimeanza ‘ Kuogopa ‘ na sasa nina mambo ya ‘ Kutisha ‘ ambayo yamejaa Ubongoni mwangu.
Naomba wale ‘ Wabobezi ‘ wa Tafakuri Tunduizi ( Critical Thinking ) au wenye uwezo wa Kuwaza ( Kufikiri ) mbali zaidi na kwa Uchambuzi wake wote waje wanisaidie kuwa kwa Kauli hii ya Spika Ndugai kuna nini kinachoenda Kujiri au mpango gani unaandaliwa kwa CAG Assad na mengineyo?
Nawasilisha.
Ni kweli wezi wamekaa kikao dhidi ya mlinzi wa kodi zetu(CAG). Na wametafuta mtu baradhuli wa kupiga kilele ili wenye akili ama busara kidogo tu wapime upepo unaenda je. Raia kwa wengi wao washaona CAG ndio mzalendo namba moja wa taifa hili na kwamba hana maneno ya kisiasa ya kuzuga ila anatembea katika njia nyembamba ya ukweli.Hakuna Kauli ya Mheshimiwa Spika Job Ndugai ‘ iliyonitisha ‘ kama hii aliyoitoa ambayo nainukuu hapa isemayo…” CAG Assad anampa wakati mgumu sana Mheshimiwa Rais ajiuzuru tu mwenyewe “.
Baada ya kujua kuwa Rais siyo tu Ndugu John Pombe Joseph Magufuli bali ni Taasisi ambayo ina Watu wengi au Vyombo husika hapo ndani yake nilipoirudia hii Kauli ya…” CAG Assad anampa wakati mgumu sana Mheshimiwa Rais ajiuzuru tu mwenyewe “ Mimi kama GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE nimeanza ‘ Kuogopa ‘ na sasa nina mambo ya ‘ Kutisha ‘ ambayo yamejaa Ubongoni mwangu.
Naomba wale ‘ Wabobezi ‘ wa Tafakuri Tunduizi ( Critical Thinking ) au wenye uwezo wa Kuwaza ( Kufikiri ) mbali zaidi na kwa Uchambuzi wake wote waje wanisaidie kuwa kwa Kauli hii ya Spika Ndugai kuna nini kinachoenda Kujiri au mpango gani unaandaliwa kwa CAG Assad na mengineyo?
Nawasilisha.
TumaniEl unaitwa huku. Kilangila.Namuhitaji Tumaniel aje atueleze kama wanapanga watu wale wa jina lile sikumbuki
Sent using Jamii Forums mobile app
Kashasema huyo kuna kitu kinaandaliwa kaa tayariNamuhitaji Tumaniel aje atueleze kama wanapanga watu wale wa jina lile sikumbuki
Sent using Jamii Forums mobile app