GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,542
- 108,858
Hakuna Kauli ya Mheshimiwa Spika Job Ndugai ‘ iliyonitisha ‘ kama hii aliyoitoa ambayo nainukuu hapa isemayo…” CAG Assad anampa wakati mgumu sana Mheshimiwa Rais ajiuzuru tu mwenyewe “.
Baada ya kujua kuwa Rais siyo tu Ndugu John Pombe Joseph Magufuli bali ni Taasisi ambayo ina Watu wengi au Vyombo husika hapo ndani yake nilipoirudia hii Kauli ya…” CAG Assad anampa wakati mgumu sana Mheshimiwa Rais ajiuzuru tu mwenyewe “ Mimi kama GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE nimeanza ‘ Kuogopa ‘ na sasa nina mambo ya ‘ Kutisha ‘ ambayo yamejaa Ubongoni mwangu.
Naomba wale ‘ Wabobezi ‘ wa Tafakuri Tunduizi ( Critical Thinking ) au wenye uwezo wa Kuwaza ( Kufikiri ) mbali zaidi na kwa Uchambuzi wake wote waje wanisaidie kuwa kwa Kauli hii ya Spika Ndugai kuna nini kinachoenda Kujiri au mpango gani unaandaliwa kwa CAG Assad na mengineyo?
Nawasilisha.
Baada ya kujua kuwa Rais siyo tu Ndugu John Pombe Joseph Magufuli bali ni Taasisi ambayo ina Watu wengi au Vyombo husika hapo ndani yake nilipoirudia hii Kauli ya…” CAG Assad anampa wakati mgumu sana Mheshimiwa Rais ajiuzuru tu mwenyewe “ Mimi kama GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE nimeanza ‘ Kuogopa ‘ na sasa nina mambo ya ‘ Kutisha ‘ ambayo yamejaa Ubongoni mwangu.
Naomba wale ‘ Wabobezi ‘ wa Tafakuri Tunduizi ( Critical Thinking ) au wenye uwezo wa Kuwaza ( Kufikiri ) mbali zaidi na kwa Uchambuzi wake wote waje wanisaidie kuwa kwa Kauli hii ya Spika Ndugai kuna nini kinachoenda Kujiri au mpango gani unaandaliwa kwa CAG Assad na mengineyo?
Nawasilisha.