HB.com
JF-Expert Member
- Oct 19, 2015
- 608
- 644
watafungua kwa mara nyingne??OK sasa hipo hivii kama utapangiwa chuo sawa ila kama hutapangiwa chuo nacte watakupa opportunity ya kuapply tena (second round) hapo anza kuchagua vyuo vya private ili usije ukaachwa kwa mwaka huu!!
mbinu za kuapply chuo- kutokana na competition kuwa kubwa pindi unapofanya application unashauriwa kachagua vyuo viwili vya mwanzo vya government then cha mwisho weka private ili hata kama utakosa government kutokana na competition at leat private upate ...elimu ni ile ile 2 material ni yaleyale