cacutee
Senior Member
- Apr 9, 2024
- 134
- 299
Nakuja nikikimbia babu ila chumbani kwako sipajui. Ni upande gan babu? πββοΈπ¨βπ©βπ¦βπ¦Tafuta njia yeyote ya kunifikia, upate hata gawio kidogo la pension ya Babu yenu ππ€
Nakuja nikikimbia babu ila chumbani kwako sipajui. Ni upande gan babu? πββοΈπ¨βπ©βπ¦βπ¦Tafuta njia yeyote ya kunifikia, upate hata gawio kidogo la pension ya Babu yenu ππ€
Upande wa mashariki, ukija utanikuta πNakuja nikikimbia babu ila chumbani kwako sipajui. Ni upande gan babu? πββοΈπ¨βπ©βπ¦βπ¦
Ebu mtag tumuoneBado niko nae Aisee,
Aaah Mzee,vizuri vinafichwaEbu mtag tumuone
Kama wengi tuko naye, utajuaje?Aaah Mzee,vizuri vinafichwa
Kwa nae tu babu,ila nimwanamke mmoja makini sanaKama wengi tuko naye, utajuaje?
Wataje
Nachimbaa kabisaaa, tuanze kuzikaa upyaaa!!!Umeanza kufukua makaburi Mjukuu
Koh Koh Koh .........kweli Kiko ya leo inapalia
YaanChezea shangazi ww
star wa picha zenye umande na ukungu labdaa.Nimecheka kuna sehemu anajiproud eti yy star ndiomana tunamsema
Shangazi anachekesha sana
sema kweliii??Wataje
Kwani bado hujaipata hadi leo hii Mjukuu π?Nachimbaa kabisaaa, tuanze kuzikaa upyaaa!!!
babuu acha mbambamba, wape wajukuuu farangaaa.
Kwann unabaguaaa??
Unajua kukoleza moto balaa π€usikubaliiii muambie akupeee!!
π€£π€£π€£π€£Yaan
π€£π€£π€£π€£π€£ hatarestar wa picha zenye umande na ukungu labdaa.
Babu umeanza fix wwShida sio Mimi Mjukuu, shida ni network
Tangu Jana Wakala alikuwa akikutumia muamala unarudi, wanasema you are not reachable π