Kwenye siasa hakuna kuungana. Ambition za kisiasa zipo moyoni huwa hazifi hivyo huwezi mfuga adui. Ukijiunga umesalenda kubali kuwa mateka, unless uwe citizen wa kawaida.Neno, wenye hekima watakuelewa walahi
Kwenye siasa hakuna kuungana. Ambition za kisiasa zipo moyoni huwa hazifi hivyo huwezi mfuga adui. Ukijiunga umesalenda kubali kuwa mateka, unless uwe citizen wa kawaida.Neno, wenye hekima watakuelewa walahi
Waambie pia kuwa majimbo yote yenye wabunge wa ccm yana maendeleo makubwa sana.naamini sasa kuwa mtu akiwa upinzani na dish lazima liyumbe kama nyie yaani hapo unafiki ni upi sasa hataki hata watu wake wawe na maendeleo ni mbunge ganisi bora aache tu hao sasahivi hawana mbunge wana mamluki fulani tu hapo
Au ni wale watu wasiojulikana wanaoteka watu hapa Tanzania?urith wetu ni ile ruzuku ambayo mwenyekiti wa CDM anaila kiulaiiiniiii na nyie hamuoni
Kalist alikuwepo Leo au unashabikia kitu flaniImekuwa ni kawaida kwa Mheshimiwa Lema, kukacha kila kila tukio la kitaifa linaloandaliwa na serikali mkoani Arusha.
Muda huu kuna Kunafanyika Kilele cha Urithi Wetu Festival Kitaifa mkoani Arusha, ndandi ya Jiji la Arusha ambalo Mheshimiwa Lema ni Mwakilishi wa Wanannchi Bungeni.
Tukio husika mgani rasmi ni Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, ni jambo la aibu kwa chama kikubwa kama CHADEMA kutopeleka wabunge wanaowakilisha mkoa wa Arusha ambao wangetumia fursa hii kuwa karibu na Waziri Mkuu pia kujumuika na wananchi waliowapigia Kura.
Mlio karibu na Mheshimiwa Lema tafadhalini mzidi kumkumbusha wajibu wa Mbunge, bado hajachelewa ajirekebishe ili mwaka 2020 aweze kuchaguliwa tena na wapiga kura wa Arusha Mjini. Mwambieni akubali yaishe, afanye kazi na RC Mrisho Gambo ili wawaletee maendeleo wananchi wa Arusha.
Ni vizuri afuate busara anazotumia Meya wa Jiji, Kalist Lazaro ambaye ni kada wa CHADEMA ambaye anawajibika ipasavyo kwa wananchi pasipo kujali uwepo wa viongozi wa CCM.
Aliyewaambieni Mh Lema anampango wakugombea Ubunge tena 2020 nani??? Kwa sasa nafasi zilizokuwa za Wabunge tumewaachia Wakuu wa Mikoa/Wilaya.hajui kuwa wapigakura wake wanamzarau ?wenyewe wanaenda mbunge hawamuoni unategemea nini hapo ukinyimwa kura unasema umeibiwa kura mbona watu wananipenda hajitambui huyo na 2020 hapati kitu akalime tu
Inaweza kuwa ameokoka, ingekuwa vizuri kwanza akaomba msamaha wa kijumla kwa wale wote aliohusika na kuiba magari yao kenya na Tanzania.Hataki kuhusika na ufisadi wowote
Watu wengine sio watu,ni viatu.Mbona Magufuli ni mwakilishi wa raia wote lakin kwenye matukio makubwa kama mikutano ya kimataifa hahudhurii,misiba ya kitaifa hahudhurii.Je,mbona kila siku anapendwa zaidi na wambunge wanajiuzuru na kuunga juhudi zake?Mtaji wa mwanasiasa ni.watu, hivyo tukio husika kwa umuhimu wake lilipaswa kuhudhuriwa na mbunge wa eneo husika. Kususia tukio ni sawa na kumwachia SHAMBA la mahindi ngedere, hivyo Lema kaumia kisiasa
kwa sababu anajua kabisa hawezi kupata ubunge tena bora kajishtukia mapemaAliyewaambieni Mh Lema anampango wakugombea Ubunge tena 2020 nani??? Kwa sasa nafasi zilizokuwa za Wabunge tumewaachia Wakuu wa Mikoa/Wilaya.
nafikiri utakuwa unaushahidi wa kutosha kuhusu mo wamrudishe?tunakuhitaji kwa mahojiano utakuwa una taarifa zake weweMrudisheni kwanza Dewji.
ama kweli nyie mtakuwa mmerogwa yaani hata akila ruzuku hamuoni shida ona gekur kapelekewa laki tano kwenye kampeni za uchaguzi wa marudio wakati chama kila mwezi ruzuku zaidi ya milioni 300 bado mnacheka tuWewe unawashiwa nini sasa, wimbo wapigiwe wengine wewe ukate mauno. Dah tunatatizo la msingi kwa hiki kizazi bazazi.
Don't take it literallyKwamba uko tayari kuongozwa na tofali badala ya binadamu. Unajua ninyi ndiyo mnakaribisha baadhi ya watu wawaite majina yasiyostahili. Fikra gani hizi sasa unaonyesha?
Acha ujinga rudisheni mtu wa watu ana familia inayomtegemea.nafikiri utakuwa unaushahidi wa kutosha kuhusu mo wamrudishe?tunakuhitaji kwa mahojiano utakuwa una taarifa zake wewe
umeeleweka