mbarika
JF-Expert Member
- Apr 1, 2015
- 7,258
- 9,728
Hivi hawa wake za watu siku hizi wana matatizo gani mbona wanatoka nje ya ndoa zao kirahisi sana?
Mkuu wanasema wanabadili mboga eti hawez kula maharage tuu kila cku
Hivi hawa wake za watu siku hizi wana matatizo gani mbona wanatoka nje ya ndoa zao kirahisi sana?
Mbona kama wanamvua nguo....wanataka wamfanyaje..
Mbona hiyo gest nipo nayo jirani imetokea lini?
Mbona hiyo gest nipo nayo jirani imetokea lini?
Hivi hawa wake za watu siku hizi wana matatizo gani mbona wanatoka nje ya ndoa zao kirahisi sana?
Kosoli ni ipi au ni kosolini? Unaongelea hapa makao mapya pembeni ya fence ya technical?
Alitumia condom?
Hivi hawa wake za watu siku hizi wana matatizo gani mbona wanatoka nje ya ndoa zao kirahisi sana?