Mlinda Mlango maarufu afumaniwa na mke wa beki wake

Mlinda Mlango maarufu afumaniwa na mke wa beki wake

barafu

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2013
Posts
6,739
Reaction score
32,917
View attachment 251242View attachment 251243
Mlinda mlango mkongwe Aldina Hashimu ambaye amechezea AFC Arusha,Mtibwa,Mount Meru Warriors na Nyota ya Arusha akipata kibano baada ya kufumaniwa akila vyombo vya mke wa aliyewahi kuwa beki wa kulia Emmanuel Mwambinje huko Guest Kasoli makao mapya
Aibu hii ya kumla mke wa mchezaji mwenzake na beki wa kulia imemletelezea kula kichapo cha haja na kupata
 
Sijui huwa inakujae yaani ukifumaniwa hata kama ni Baunsa kiasi gani, huwezi rusha ngumi hata moja na ukijilegeza zaidi jamaa wanaweza kukunanihiii!!! Dah, Mke wa mtu sometimes ni Sumu
 
View attachment 251242View attachment 251243
Mlinda mlango mkongwe Aldina Hashimu ambaye amechezea AFC Arusha,Mtibwa,Mount Meru Warriors na Nyota ya Arusha akipata kibano baada ya kufumaniwa akila vyombo vya mke wa aliyewahi kuwa beki wa kulia Emmanuel Mwambinje huko Guest Kasoli makao mapya
Aibu hii ya kumla mke wa mchezaji mwenzake na beki wa kulia imemletelezea kula kichapo cha haja na kupata

Ila nawewe avatar yako imekaa kufumaniana kabisa
 
Hivi hawa wake za watu siku hizi wana matatizo gani mbona wanatoka nje ya ndoa zao kirahisi sana?
 
Sijui huwa inakujae yaani ukifumaniwa hata kama ni Baunsa kiasi gani, huwezi rusha ngumi hata moja na ukijilegeza zaidi jamaa wanaweza kukunanihiii!!! Dah, Mke wa mtu sometimes ni Sumu

Sio sometimes... always
 
Whaatt.!! Unaweza jitupia mtoni ufe maji
 
Wachezaji mpira huwa wanatafuniana sana wake!
Kingine wake wengi wa Wachezaji ni mcharuko tu
 
Mbona hiyo gest nipo nayo jirani imetokea lini?
 
sasa mbona wote wanajiaibisha?? huyo anayejifanya anamkomoa mwizi wake hajui kama anaitangazia dunia kama kazi hawezi anachapiwa mkewe???.....hakuna haja ya picha aibu yake ya mkewe na huyo aliyefumaniwa
 
Hizi scandal za kufumaniwa ni too much sasa. kila nikiamka mtu anafumaniwa.
 
Wa kulaumiwa ni huyo mwanamke,kwa nini ujue una mume halafu unakwenda kut..mbwa nje?
 
Kufumaniwa ni hatari hata kama una umbo kubwa unakua mdogo ka piritoni.
 
hivi huyo mfumania ajui kuwa kuchapiwa ni siri ya ndani?! unafumaniwa ili iwe nini una uwezo wa kumuacha mtu uliemfumania au unataka kujipa stress bure
 
Back
Top Bottom