Mlichokipata YANGA Mbeya , mtegemee kukipata na mikoa mingine.

Mlichokipata YANGA Mbeya , mtegemee kukipata na mikoa mingine.

Saitot

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2013
Posts
613
Reaction score
152
Kwa mara ya kwanza kabisa ,katika historia ya mpira miguu nimeshuhudia mabadiliko ambayo yanga hawakuyatarajia , umati wa washabiki uliojitokeza kuishabikia timu yao ya mbeya tofauti na kipindi cha nyuma , ambapo tulizoea kushabikia Yanga na Simba sasa inatoweka , na wshabiki kuanza kupenda vitu vya nyumbani.dosari iliyojitikeza ni kulishambulia basi la wachezaji, jambo ambalo lilisababishwa na wao wenyewe wakidhani bado wanaoendwa.Mbeya city tutaendelea kuwashangilia kwa moyo mmoja na nguvu moja mjitume daima.
 
Mabadiliko yameanza ule ndo umoja

Mabadiliko haya ya yanatupeleka mbele, yanaturudisha nyuma? Umoja wa kushambulia kwa mawe Basi lenye wachezaji wa Timu pinzani? Baada ya hapa tutegemee mabadiliko zaidi ya Basi la Timu pinzani kushambuliwa kwa risasi?
 
Mabadiliko haya ya yanatupeleka mbele, yanaturudisha nyuma? Umoja wa kushambulia kwa mawe Basi lenye wachezaji wa Timu pinzani? Baada ya hapa tutegemee mabadiliko zaidi ya Basi la Timu pinzani kushambuliwa kwa risasi?
Mabadiliko hayo ndio yanayohitajika lakini wenye mpira wao bado hawataki mabadiliko maana maamuzi wanayatoa wao kwa kuvipendelea vilabu vya Dar hasa Simba na Yanga ambayo inaaminika mzee wa madarakani anakadi
 
Mabadiliko hayo ndio yanayohitajika lakini wenye mpira wao bado hawataki mabadiliko maana maamuzi wanayatoa wao kwa kuvipendelea vilabu vya Dar hasa Simba na Yanga ambayo inaaminika mzee wa madarakani anakadi

nyie hangaikeni ila mkija taifa lazma tuwamege vpande vtano kama wenzenu ashanti
 
Mabadiliko hayo ndio yanayohitajika lakini wenye mpira wao bado hawataki mabadiliko maana maamuzi wanayatoa wao kwa kuvipendelea vilabu vya Dar hasa Simba na Yanga ambayo inaaminika mzee wa madarakani anakadi

Kaka, Mechi inarudiwa na itachezwa uwanja huru kufuatia Rufaa ya Yanga (Mabingwa wa Kudumu wa Nchi hii)! Mechi na Prisons nayo itakuwa Uwanja huru. Huenda mechi zote za VPL zilizokuwa zichezewe Mbeya zikahamishiwa Kiwanja cha Mkoa mwingine! Imekula kwenu!

Source Forum ya Sports!
 
Mtakuja tu Dar, tutakata ngebe zote, wenzenu walianzaga na mbwembwe hivyo hivyo.
 
Ili kuua wachawi na waporomoshaji soka nchini (Simba na Yanga) lazima tufanye mambo kama haya, bado kuwafungia kwenye mabasi yao na kuwachoma moto pamoja na wazee wao na watu wasio na issue na mpira (kamati ya Ufundi = uchawi). Tukifanya haya kila mkoa, kwa kweli tutafika.
 
simba na yanga zinatakiwa kufutwa kwa style yoyte ili mpira wa nchi hii uwe huru na ukue vinginevyo tutaendelea kufungwa na gambia nchi jinga ambayo rais wake amegeuka kuwa babu wa loliondo eti anatibu ukimwi ikulu kwa kutumia ndizi.
 
Nadhani hujui vizuri historia ya soka la Tanzania au umezaliwa miaka ya karibuni...
Yanga SC haijawahi kupendwa mkoani Mbeya tangu enzi za Mecco na Tukuyu Stars...
Pia hali hiyo iliendelea zilipoibuka timu kama Tiger na Prisons...
Lakini kwa upande wa pili wa shilingi, Simba huwa hawapati sana tabu...
 
Kaka, Mechi inarudiwa na itachezwa uwanja huru kufuatia Rufaa ya Yanga (Mabingwa wa Kudumu wa Nchi hii)! Mechi na Prisons nayo itakuwa Uwanja huru. Huenda mechi zote za VPL zilizokuwa zichezewe Mbeya zikahamishiwa Kiwanja cha Mkoa mwingine! Imekula kwenu!

Source Forum ya Sports!

Mkuu wataficha wapu mayai ya bundi kwenye uwanja huru?
 
Back
Top Bottom