Habari ya asubuhi Jf members
Mlevi mmoja alibatizwa kwa ubatizo wa maji mengi,akazamishwa kwenye maji na kuibuliwa mchungaji akamwambia kuanzia sasa hautaitwa NSURI utaitwa SURI umezaliwa upya hivyo wewe ni kiumbe kipya.Alipofika nyumbani kwake akachukua bia akaizamisha kwenye ndoo yya maji kisha akaiambia, kuanzia sasa wewe sio TUSKER wewe ni FANTA!Akainywa
Mlevi mmoja alibatizwa kwa ubatizo wa maji mengi,akazamishwa kwenye maji na kuibuliwa mchungaji akamwambia kuanzia sasa hautaitwa NSURI utaitwa SURI umezaliwa upya hivyo wewe ni kiumbe kipya.Alipofika nyumbani kwake akachukua bia akaizamisha kwenye ndoo yya maji kisha akaiambia, kuanzia sasa wewe sio TUSKER wewe ni FANTA!Akainywa