ZENITH
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 1,057
- 973
MKE WA MLEVI:Mume wangu ulisema huu mwaka mpya 2013,utabadirika na kuwa mtu mpya kabisa na pombe utaacha,sasa mbona bado unaendelea kunywa pombe?
MLEVI:Hapana mke wangu si kwamba sijabadirika,nimebadirika na kuwa mtu mpya lakini tatizo na huyu mtu mpya naye anapenda pombe.
MLEVI:Hapana mke wangu si kwamba sijabadirika,nimebadirika na kuwa mtu mpya lakini tatizo na huyu mtu mpya naye anapenda pombe.