Mlemavu adaiwa kumbaka mtoto wa miaka 12

josegorofani

Senior Member
Aug 19, 2015
197
69
1d3bc65fa6c525f871b9d849d412d0fd.jpg

Mkazi wa Tandale kwa Tumbo jijini Dar es Salaam, Salum Abdallah, maarufu ‘Dama’ (40) ambaye ni mlemavu wa miguu, amepandishwa kizimbanzi katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni, akikabiliwa na mashtaka mawili likiwamo la kubaka na kumwingilia kinyume cha maumbile binti mwenye umri wa miaka 12 (jina linahifadhiwa.)

Mbele ya Hakimu, Boniphace Lihamwike, Wakili wa Serikali Tumaini Mfikwa, alidai kwamba mtuhumiwa huyo alitenda kosa la kwanza la kubaka Juni 6, mwaka huu eneo la Tandale.

Katika shtaka la pili mnamo tarehe iliyotajwa hapo juu mtuhumiwa huyo alimwingilia kinyume cha maumbile mtoto huyo ambaye ni mwanafunzi wa darasa la tano katika Shule ya Msingi Hekima wilayani Kinondoni.

“Mshtakiwa ulimbaka na kisha kumwingilia kinyume na maumbile binti huyo na kumsababishia maumivu makali mwilini mwake,” alidai Wakili Mfikwa.

Baada ya maelezo hayo mtuhumiwa alikana kosa hilo ambapo hakimu Lihamwike alisema shtaka hilo linadhamana kisheria, hivyo alimtaka mtuhumiwa awe na wadhamini wawili wa uhakika watakaoweka saini ya maandishi ya Sh milioni 2.

Nje ya mahakama ilidaiwa kuwa mshitakiwa ni dereva wa pikipiki ya miguu mitatu (bajaji) ambapo alikuwa akimpakia mara nyingi mwanafunzi huyo na baadaye alitumia mwanya huo kumbaka.


Chanzo: Mtanzania
 
hawa walemavu wanatumia hali yao kutenda maovu- sheria ifanye kazi yako

Inavyoelekea wadada wanamkataa kwahiyo alipatwa na mfadhaiko hahaaaa.

Pole kwa binti. Sheria ichukue mkondo wake. Na yy akakutane na mchokocho kule jela.
 
Asipiwe dhamanaa aisee kama kweli alifanya hivyo lkn kama kauziwa kesi basi hapo duu apiganie kwelii ili asiende jela
 
Msimlaumu jamaa jamani. Kutokana na hali yake bila Shaka mabinti wanamkataa hivyo akaona njia pekee ni hiyo. Hako katoto kangempa tu kwa hiari huenda kasingepata hayo maumivu
 
Daahhh na watu walionyimwa miguu huwa wamejaaliwa ule mguu mwingine cjui huyo ameumia kiasi gani km kweli alimfanyia
 
Jamani mtoto kwanini hakukimbia? Pole yake
mtoto wa mika 12 usidahnie mtoto huyo. alikuwa wake. aliyebakwa ungemnkuta labda akiwa anableed kwa majeraha lakini huyo KIWETE alishamgroom au naye alimkuta keshakuwa mtu mzima!!!
 
Inaelekea walikuwa wankubaliana na huyo binti, maana binti kanasa ujauzito ndio kumtaja mlemavu kama muhusika wa mimba hiyo, sema sheria inamtia hatiani kwa kuwa binti ni chini ya miaka 18.
 
Back
Top Bottom