Mkwasa ni mtendaji sio kiongozi

Mkwasa ni mtendaji sio kiongozi

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
16,252
Reaction score
16,171
Anaushawishi mdogo sana katika nyanja zote. Kunapotokea crisis msimtume Mkwasa kwenda kuimanage maana communication skills zake sio za kumshawishi MTU aliyekasirika akubali kufanyakazi. Hawezi kutatua migogoro pahala pa kazi hivyo anafaa kitengo ambacho interaction na wachezaji is very minimal.
 
Back
Top Bottom