Mkwara wangu wakutafuna nyembe

Busu la Kenge

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2025
Posts
2,543
Reaction score
4,664
Sinaga maneno mengi ukinichokoza na kunifuatafuata na maneno Wala siongeagi na kujibizana Sana.

Nikiona tu unaendelea basi nanyofoa paketi ya nyembe nacet ama topaz mfukoni na kuzirusha mdomoni moja baada ya nyingine kama Karanga na kuzitafuna mbele yako.

Nikishazitafuna na kuzimeza huyo naondoka zangu kimyaa.

Heshima ya kudumu inakuwepo.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…