Mkwara wa Urusi waiacha marekani hoi!

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Feb 17, 2015
13,663
18,037
Mkwala wa urusi ambao Marekani ameshindwa hata kuusemea wala kuujibu ni mzito usipime!

Kamwambia kitu cha kileo ni "electronic bomb" na ana uwezo wa ku-jam meli zake zote, ndege na missile system mpaka satellites zikabaki kama zezeta tu!

Hakuishia hapo akamwambia ili meli yake kubwa kabisa "destroyer" keshaifanyizia tayari miaka mingi iliyopita ni kiasi cha ku-activate tu jamming button kisha inapiga usingizi wa pono!

Mdokezo huu hapa:
Russia claims it can wipe out entire US Navy with a single ‘electronic bomb’.
Haijawahi kutokea marekani kuchimbwa mkwala halafu ikakaa kimya kama haijasikia vile!!!
 
Hii teknolojia hata u.s wanayo, israel walikuwa wanaitafiti na wao miaka michache nyuma huenda sasa wanaimiliki ila kinachoonekana ni kwamba inamuwezesha adui kuzimikiwa mitambo yote ya kidigitali ambayo imo kwenye mabomu, ndege n.k kwahiyo u.s hataweza kurusha bomu zake ila na yeye akiamua kuzima vya mrusi pia analo hilo e-bomb, sasa hapo vita itakuwa imehama kwenye moto wa mabomu itabidi irudi ardhini wapigane infantry, na hata wao hawataweza bila kuwa na mawasiliano ya kisasa waliyozoea kwa hiyo hapo hakuna mjanja tena!
 
Kwa anaejua semiconductor physcics vizuri anawezajua uhalisia na mbwembwe katika hilo Kama ni kweli limesemwa hivyo, Kama ndivyo lilivyosemwa, natumai itakuwa ni mbinu ya kupumbaza mtu na kufanya tafiti kadhaa kwa NK kisha kubaini njia ya kummaliza bila uharibifu mkubwa ambao inapelekea Marekani kulaumiwa sana. Pia yaweza pelekea Russia kufanya self denial ambayo haitampa lawama kwa rafika zake ambapo atakuwa kashiriki kwa mlango wa nyuma
 
Mkwala wa urusi ambao Marekani ameshindwa hata kuusemea wala kuujibu ni mzito usipime!
Kamwambia kitu cha kileo ni "electronic bomb" na ana uwezo wa ku-jam meli zake zote, ndege na missile system mpaka satellites zikabaki kama zezeta tu!
Hakuishia hapo akamwambia ili meli yake kubwa kabisa "destroyer" keshaifanyizia tayari miaka mingi iliyopita ni kiasi cha ku-activate tu jamming button kisha inapiga usingizi wa pono!
Mdokezo huu hapa:
Russia claims it can wipe out entire US Navy with a single ‘electronic bomb’.
Haijawahi kutokea marekani kuchimbwa mkwala halafu ikakaa kimya kama haijasikia vile!!!
Urusi sio kwamba anampiga mkwara tu USA bali alishawai kufanya hivyo mara 12.
Urusi ilirusha ndege yake ambayo haikuwa na bomu lolote zaidi ya hilo la kuua mfumo wa umeme juu ya meli ya ya kimarekani ambayo ndo ya kisasa zaido na ndo iyo juzi ilienda korea kaskazini.
Meli hiyo ilishindwa kufanya chochote kile na wanajeshi wa Marekani wakabaki kuduaa tu.
Mrusi akaona haitoshi,akarusha tena helkopta na majibu yakawa ndo hayo hayo.

Naambatanisha na ushaidi wa video ya tukio hilo.
 

Attachments

  • Russian+Fighter+Jet+Disables+US+Missle+Destroyer+U.mp4
    17.8 MB · Views: 39
Purukushani hizi nazitegemea endapo USA ataanzisha kwa NK. NK anajibu akijua ni nini anaenda kufanya maana hizo manowari zimeingia eneo ambalo wamelichezea kwa muda mrefu. Huenda makombora yasifyatuke au yakifyatuka yatatua hata katika ardhi ambayo USA hakukusudia. Tutegemee vituko huko
 
Hii teknolojia hata u.s wanayo, israel walikuwa wanaitafiti na wao miaka michache nyuma huenda sasa wanaimiliki ila kinachoonekana ni kwamba inamuwezesha adui kuzimikiwa mitambo yote ya kidigitali ambayo imo kwenye mabomu, ndege n.k kwahiyo u.s hataweza kurusha bomu zake ila na yeye akiamua kuzima vya mrusi pia analo hilo e-bomb, sasa hapo vita itakuwa imehama kwenye moto wa mabomu itabidi irudi ardhini wapigane infantry, na hata wao hawataweza bila kuwa na mawasiliano ya kisasa waliyozoea kwa hiyo hapo hakuna mjanja tena!
Wewe ndio msemaji wao? Acha kujipendekeza kiasi hicho
 
Hii teknolojia hata u.s wanayo, israel walikuwa wanaitafiti na wao miaka michache nyuma huenda sasa wanaimiliki ila kinachoonekana ni kwamba inamuwezesha adui kuzimikiwa mitambo yote ya kidigitali ambayo imo kwenye mabomu, ndege n.k kwahiyo u.s hataweza kurusha bomu zake ila na yeye akiamua kuzima vya mrusi pia analo hilo e-bomb, sasa hapo vita itakuwa imehama kwenye moto wa mabomu itabidi irudi ardhini wapigane infantry, na hata wao hawataweza bila kuwa na mawasiliano ya kisasa waliyozoea kwa hiyo hapo hakuna mjanja tena!

Mkuu sio kila kitu US anacho. US ana vitu vingi, ana tech kubwa na ndio maana aliweza kuhack mawasiliano ya maraisi wa nchi nyingi zilizoendelea, lakini alishindwa kuhack mawasiliano ya Putin.
Kuna nyanja nyingi ambazo US yupo superior kwa Russia, lakini kuna nyanja nyingi pia ambazo US ni mchumba tu kwa Russia, jamming technology being one of them maana alishawahi ku jam mawasiliano ya boti za Marekani miezi kadhaa iliyopita.

Sio kila kitu Marekani anacho mkuu, technology haipo Marekani pekee.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom