Ulio Nyuma ya picha utakuwa Ficus religious (Ipo Asia hasa India).Mrumba unaitwa Kisayansi Fucus natalensis na ndiyo mingi IPO kuanzia Natal province Kule SA Hadi Kenya na Uganda,ndiyo inaitwa Mtoma Kule Bukoba Hadi Uganda.Mikoa ya Geita,Kagera na Kigoma magome Yake hutengeneza Mashuka ya Asili,lakini pia ni mahali Ibada za kiasili hufanyika.Ukipita Maeneo ya vijijini ilikuwa ikipandwa kichwani mwa kaburi na iliita hapo ndiyo Ibada za Kuomba Kwa waliokuwa zilifanyika.Ni Mtu ambapo ni sacred,pengine kama ulivyo Banyan tree Kwa Hindu na Budha.