Mkuyati kusimama simama ovyo

Wazabanga kuku

JF-Expert Member
Dec 13, 2016
264
378
Habarini wadau,

Jamani nashindwa kuelewa kama nimerogwa au tatizo ni nini yani mkuyati wangu unasimama kila mara hasa nikikutana na binti mrembo, kiukweli napata tabu sana huko mabarabarani na kuna wakati mwingine unasimama tu bila taarifa, sasa sijui ndo tatizo.

Mwenye uzoefu na hii hali aniambie dawa yake.
 
Habarini wadau

Jamani nashindwa kuelewa kama nimerogwa au tatizo ni nini yani mkuyati wangu unasimama kila mara hasa nikikutana na Binti mrembo kiukweli napata tabu sana huko mabarabarani na kuna wakati mwingine unasimama tu bila taarifa Sasa sijui ndo tatizo mwenye uzoefu na hii hali aniambie dawa yake
Tafuta mtoto piga miti 6 hours
 
Habarini wadau

Jamani nashindwa kuelewa kama nimerogwa au tatizo ni nini yani mkuyati wangu unasimama kila mara hasa nikikutana na Binti mrembo kiukweli napata tabu sana huko mabarabarani na kuna wakati mwingine unasimama tu bila taarifa Sasa sijui ndo tatizo mwenye uzoefu na hii hali aniambie dawa yake
Uzoefu ni kwamba, shule zikifunguliwa mada za namna hii hupungua sana
 
Siku hizi shida zipo nyingi:
Mtandao ukisoma shida,usipo soma shida yaani......!!!!
 
Habarini wadau

Jamani nashindwa kuelewa kama nimerogwa au tatizo ni nini yani mkuyati wangu unasimama kila mara hasa nikikutana na Binti mrembo kiukweli napata tabu sana huko mabarabarani na kuna wakati mwingine unasimama tu bila taarifa Sasa sijui ndo tatizo mwenye uzoefu na hii hali aniambie dawa yake
Kwanza kabisa tujuze una Umri gani
 
dogo waza mambo ya maana... ngono zitakupeperusha!
nenda uwanja wa fisi kawaambie tatizo watakusaidia..!!!
 
Kwa ninavyojua unaweza kusimama wenyewe pindi unapotoka kulala. Hapo huwa hautaarifiani na ubongo ila kama ukiona sketi tu ndiyi unasimama maana yake ni wewe mwenyeww ndiye chanzo. Ukishaweka mawazo ya ngono mara nyingi ubongo huvipa taarifa viungo vyote ambavyo vinahusika na ngono. Hivyo punguza mawazo ya kuvuana chupi
 
Back
Top Bottom