DC wa Lushoto ndg. Majidi Mwanga kweli ni mwanamichezo, leo nimeshanga akiwa katika mazoezi na vijana mbalimbali wa chuo kikuu cha sekomu na chuo cha mahakama IJA na baadhi ya askari mchanganyiko na vijana wa mtaani katika kiwanja karibu na kituo cha police.
Sio rahisi kwa viongozi wetu kujichanganya kama kaka huyu .Anaitaji pongezi sana mkuu huyu wa wilaya ya Lushoto.
Sio rahisi kwa viongozi wetu kujichanganya kama kaka huyu .Anaitaji pongezi sana mkuu huyu wa wilaya ya Lushoto.