Mkuu wa wilaya ya Itilima atembelea kijiji cha Nanga

Mnyerede

JF-Expert Member
Dec 29, 2016
210
226
Mkuu wa wilaya ya Itilima, bwana Benson Kilangi ametembelea kata ya Chinamili kijiji cha Nanga katika hatua za kutatua kero zinazowakabili wananchi. Pia bwana Kilangi amewataka watendaji wa serikali kutatua migogoro ya ardhi pamoja na ya wafugaji na wakulima.
 
Back
Top Bottom