Mkuu wa wilaya ya Geita Bwn Sherutete, ameingia kwenye kashifa mbaya ya matumizi mabaya ya madaraka yake. Hayo yamebainika katika kikao cha baraza la madiwani wa halmashauri ya wilaya hiyo baada ya kubaini msaada unaotolewa na Geita Gold Mine kwaajili ya kusomesha watoto waliokatika mazingira magumu umechakachuliwa na mkuu huyo wa wilaya kwa kumwingiza anaedaiwa kuwa mwanae aitwae Robert Sherutete.
Kutokana na hali hiyo madiwani katika kikao chao hicho waliweka azimio la kumkataa bwana DC kwakuwa amekika maadili ya uongozi na kwamba msaada huo haukulenga watoto wa viongozi kama Dc. Madiwani hao wamesema huenda ndiyo maana uongozi wa GGM unakiburi sana mbele ya uongozi wa Halmashauri maana mkuu wa wilaya anasomeshewa mwanae na mgodi huo.
Nawasilisha.
SOURCE: Geita full council 13th July,2011
Kutokana na hali hiyo madiwani katika kikao chao hicho waliweka azimio la kumkataa bwana DC kwakuwa amekika maadili ya uongozi na kwamba msaada huo haukulenga watoto wa viongozi kama Dc. Madiwani hao wamesema huenda ndiyo maana uongozi wa GGM unakiburi sana mbele ya uongozi wa Halmashauri maana mkuu wa wilaya anasomeshewa mwanae na mgodi huo.
Nawasilisha.
SOURCE: Geita full council 13th July,2011