mkuu wa wilaya ya bunda joshua mirumbe amemdhalilisha mwalimu wa shule ya msingi kung'ombe kwa kumpinga ngumi akiwa ndani ya ofisi ya mkuu wa wilaya.kisa kilichosababisha mkuu wa wilaya kumpinga mwalimu huyo ngumi ni mwalimu huyo kuwa upande wa upinzani badala ya kuwa ccm.je ni haki mkuu wa wilaya kumpinga mwalimu ngumi kwa kuwa hayuko upande wa chama cha mteule wake.