"Nendeni mkawaambie kwamba ni nchi gani duniani inawapa watu wake mikopo isiyo na riba?. Wakaangalie, mara nyingi wanapenda ku- google vitu ambavyo vinavunja amani, wa- Google sasa vitu ambavyo vinajenga amani yetu"- amesema Mkuu wa Wilaya ya Ilala Edward Mpogolo
Octoba 4, 2025 Mkuu wa wilaya ya ilala Edward Mpogolo ametaka wanufaika wa Mikopo ya asilimia 10 kuwa wazalendo wa kweli na kuposti mambo yanayoleta amani katika inchi.
Ameyasema hayo aliposhiriki katika hafla ya Ugawaji wa Pikipiki 39 na bajaji 6 kwa vikundi 6 vya Halmashauri ya jiji la dar es salaam ikiwa ni utekelezaji wa Utoaji mikopo jumuishi itokanayo na mapato ya asilimia 10 ya Halmashauri za mfano kwa Awamu hii ya kwanza
Octoba 4, 2025 Mkuu wa wilaya ya ilala Edward Mpogolo ametaka wanufaika wa Mikopo ya asilimia 10 kuwa wazalendo wa kweli na kuposti mambo yanayoleta amani katika inchi.
Ameyasema hayo aliposhiriki katika hafla ya Ugawaji wa Pikipiki 39 na bajaji 6 kwa vikundi 6 vya Halmashauri ya jiji la dar es salaam ikiwa ni utekelezaji wa Utoaji mikopo jumuishi itokanayo na mapato ya asilimia 10 ya Halmashauri za mfano kwa Awamu hii ya kwanza