Vunjavunja
Member
- May 18, 2012
- 92
- 11
Ualimu ni fani ya watu waliofeli, hivyo hawana haki ya kudai nyongeza ya mishahara, hii ni kauli ya mkuu wa wilaya Mbeya Dr. Norman Sigalla huu ni uzalilishaji wa fani ya ualimu, na kudhalilisha fani zote hata yeye mwenyewe maana hata kuteuliwa kwake na J.K wote walifundishwa na walimu nina mashaka na Dr wote huenda ni kama wa J.k au wa kuiba vyeti mtu msomi hawezi kusema hivyo.