Mpevu
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 1,805
- 173
Wadau,
NAOMBA NISAIDIWE ILI NIJUE, JE MKOA UNAWEZA KUKAA BILA MKUU WA MKOA KWA KIPINDI GANI HASA ( labda kwa mujibu wa katiba) ??,, NAPATA TAABU KUJUA NI VIPI MAENDELEO KUFIKIWA HARAKA KWA WANANCHI IKIWA RC ANAENDESHA MIKOA 2 AT ONCE TENA KWA ZAIDI YA ROBO MWAKA.
1. Je, hakuna wananchi wenye kumudu nafasi hizo?
2. Je, ni hatua (labda) za kupunguza budget za hao wakubwa wa mikoa?
NAOMBA NISAIDIWE ILI NIJUE, JE MKOA UNAWEZA KUKAA BILA MKUU WA MKOA KWA KIPINDI GANI HASA ( labda kwa mujibu wa katiba) ??,, NAPATA TAABU KUJUA NI VIPI MAENDELEO KUFIKIWA HARAKA KWA WANANCHI IKIWA RC ANAENDESHA MIKOA 2 AT ONCE TENA KWA ZAIDI YA ROBO MWAKA.
1. Je, hakuna wananchi wenye kumudu nafasi hizo?
2. Je, ni hatua (labda) za kupunguza budget za hao wakubwa wa mikoa?