Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,377
- 114,240
What if hakuwemo? Nasuibiri kumwona CDF mwenyeweHumu watu ni wabishi, leo majira ya saa kumi na nusu nimeuona msafara wake vingunguti, sema nilikuwa on move sikuweza kupiga picha
Mkuu vipicha kwa mbaali vp hamna....
What if hakuwemo? Nasuibiri kumwona CDF mwenyewe
Naona Mkuu humtakii Mema Mwenzio!!Hivi wajeda wakikuona unawapiga picha utajiteteaje????
Well it doesn't have the same meaning and I real
don't care if the meaning is the blessed Virgin Mary ....
how can defense be coordinated without the use of multiple security countermeasures ????
Once again bro you are better than this
Ha ha kaka nimeona gari za jeshi, ya nyuma kabisa ilikuwa na mabegi cause ni zile ford za jeshi zisizo na tinted. Tatizo jeshi hali operate kisiasa kama mnavyodhani. Kama mnafikiri eti CDF atajitokeza hadharani na kuclaim yuko fine.... Ni ndoto boss
Good. I'm glad you concede those words have different meanings.
And what exactly is your point here? Mind expounding on it...?
Better than what..?
Ni Chief of Defense Forces....ambazo ni land forces, air force, na naval force.
Ni Chief of Defense Forces....ambazo ni land forces, air force, na naval force.
Kwa uache fallacy of generalization. Hakuna siasa katika post yangu. Umesema umeona gari. Hiyo haithibitishi kuwa yumo. Pia umerudia kusema umeona GARI na MABEGI. Bado hii haithibitishi kuwa yumo.Ha ha kaka nimeona gari za jeshi, ya nyuma kabisa ilikuwa na mabegi cause ni zile ford za jeshi zisizo na tinted. Tatizo jeshi hali operate kisiasa kama mnavyodhani. Kama mnafikiri eti CDF atajitokeza hadharani na kuclaim yuko fine.... Ni ndoto boss
vipi kashafika???
What does the meaning got to do with how defense and security work ???
Once again stop acting like you are 12 yrs old
Ningekufafanulia sema tu wewe unaishi ulaya sijui marikani, hukawii kuanza kubisha kwa vizungu vyako huku ukisema usa baby: usa baby:
Ila tu hiyo CDF ussamini sana kiasi cha kujengea hoja yako maama huku kwetu tunamwitaga mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama.
Labda tu niuliza maana OCS..ina maana gani? Yaani kiinglish chake!