Verily Verily
Senior Member
- Jan 4, 2007
- 192
- 148
1. Huyu mtu anategeshea magari yanayowahi kazini kabla ya saa 12:00 na kuyakamata kwa makosa ya kipuuzi
2. Anaweka lock up madereva kituoni zaidi ya masaa 10 bila sababu ya msingi na hivyo waliokamatwa kukosa kwenda kazini siku hio na kuwasababishia watanzania kukosa huduma maofisini.
3. Madereva hasa wa bodaboda na hata wa magari wakitolewa lock up ni kulipa faini bila kupewa risiti.
4. Anasababisha foleni barabara ya Kimara hasa wakati wa alfajiri watu wanapokuwa wanawahi makazini kwa kuzuia matumizi ya lane mbili ambazo upana wa barabara unaruhusu. Hata lori likiharibika lazima kulisubiri.
5. Mamlaka husika zisimwache mtu huyu kufanya atakavyo. Ni hatari kwa ustawi wa nchi.
2. Anaweka lock up madereva kituoni zaidi ya masaa 10 bila sababu ya msingi na hivyo waliokamatwa kukosa kwenda kazini siku hio na kuwasababishia watanzania kukosa huduma maofisini.
3. Madereva hasa wa bodaboda na hata wa magari wakitolewa lock up ni kulipa faini bila kupewa risiti.
4. Anasababisha foleni barabara ya Kimara hasa wakati wa alfajiri watu wanapokuwa wanawahi makazini kwa kuzuia matumizi ya lane mbili ambazo upana wa barabara unaruhusu. Hata lori likiharibika lazima kulisubiri.
5. Mamlaka husika zisimwache mtu huyu kufanya atakavyo. Ni hatari kwa ustawi wa nchi.