Potelea mbali, ikibidi kushabikia machafuko na iwe hivyo, kuliko kuendelea kuunga mkono uonevu na ujinga.
Watu walipoandamana waliita ugaidi, wakatengeneza matujio ya kigaidi wao wenyewe ili wawabambikie wengine bila kujali damu isiyo na hatia ilivyomwagika.
Maji hufuata mkondo, matukio ya kweli yamekuta rutuba nzuri ndani ya Tanzania, kwa nini yasistawi?
Mliwachekea sana watu fulani walipokuwa wakihubiri ugaidi huku wakiwapachika wenzao huo ugaidi, hakuna aliyekemea tabia hii ya kumtaja 'Nyoka' usiku.
Pole Ispector Lusekelo.