aminiusiamini
JF-Expert Member
- Aug 25, 2011
- 3,577
- 2,220
Mimi simsafishi Mtu bali nahoji iweje Rais afanye kazi kwa Shinikizo la Mengi ambaye yupo kwa Masilahi binafsi ya Vitalu vya Gesi huku akiwa amesheheni Madhambi kibao Lakini yupo busy kuwanyooshea wenzake vidole.
Kwahiyo mengi aliwaambia hao wajinga wenzako kina muhongi na tiba wachukue hela huku wakijua ni za tanesco.
Usitake kudanganya umma hapa ruge hana hela za kuwalipa watu hovyo tena wasio na blood relation whatsoever. Do unapoteza watu and you belong to hell .