GE2025 Mkutano wa Mpina na waandishi wa Habari umeahirishwa

GE2025 Mkutano wa Mpina na waandishi wa Habari umeahirishwa

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Ahirisho la Mkutano na Waandishi wa Habari

Mkutano na waandishi wa Habari na Ndg Luhaga Mpina, uliokuwa ufanyike leo Alhamis tarehe 28.8.2025 saa Saba Kamili Mchana umeahirishwa kutokana na Mzungumzaji kuendelea na usikilizaji wa Kesi mahakamani
Mpaka wakati huu.

Tunaomba radhi kwa usumbufu na tutawataarifu wakati tukiwa tayari

Asanteni

Abdallah Khamis
Afisa Habari ACT Wazalendo
28.08.2025

Screenshot 2025-08-28 113948.png
 
Back
Top Bottom