punguza mihemko basiila Kikwete mtamkumbuka siku EL akishika nchi,bora hata na Makamba Juniour awe President than.......
vimon wenu yu wapi???????
hakuna kinachoendelea hapa,wote wamekubali kum'uunga mkono JK cdm haina lao hapa m'a DK wote wapo m,akinui na ni ccm damu,vimon anatoa taarifa za uongo hakuna cha wimo wala nini,wanaipongeza serikali kwa kwa wa chop out GS B.Nyoni,
siumeona Vimon katoweka?analea ubabaishaji tuu wajameni,i dare to say Vimon ni mpayukaji bana,hana jipya,madokta wote are happy now system in Action,na kama mtamwona Vimon tena,
Vimon mbona yupo?siumeona Vimon katoweka?analea ubabaishaji tuu wajameni,i dare to say Vimon ni mpayukaji bana,hana jipya,madokta wote are happy now system in Action,na kama mtamwona Vimon tena,
jaman am here nssf water front hakuna ki2 ka hicho VIMON anaripoti upuuzi invisible tafadhali afungiwe huyo,
Serikal ya JK imeshindwa kuongoza,haiwezekan mpaka leo wafanyakaz na wahadhiri wa vyuo vikuu hatujapata mshahara.
simu ilipigwa kama dakika 20 zilizopita kupata uhakika kama bwana mponda na lucy wameachia ngazi lakini inaonekana majibu ni kuwa wapo ofisini,wachiangiaji wengi wamejenga hoja kuhu kuboresha afya za watanzania,imetolewa nifano mgonjwa amekufa hivi karibuni kwa kukosa oxygen na adrenaline (dawa ya dharura) mbele ya madaktari bingwa,wamehoji shida ya raisi kushindwa kumwajibisha waziri na naibu,kwa kifupi madaktari wapo tayari kuendelea na kazi iwapo hawa wataondolewa.
mwiba ni waziri mponda na naibu wake,madaktari wanatambua kuwa serikali inafanya siasa kwenye afya za wananchi wake,napia wanajuwa TBC inatumiwa vibaya kupotosha umma,wanasisitiza wananchi wanapotoshwa juu ya wao kuwatenga kada nyingine na kuwa wanapenda pesa lakini,wanatete mstakabali mzima waAfya za watanzania.
Madaktari ni wasomi ukiwasiliza unahisi saa ya ukombozi ni sasa,solidarity forever
Nimekuwa mhanga tayari. Nilikuwa hospitali moja hapa mjini namsubiri Dr. tukaambiwa anakuja saa nane tumekaa kuanzia saa sita kufika saa nane na dkk 45 jamaa anatuma msg kwamba haji ana dharura. Kwa kuwa ni physician wa Muhimbili nikajua jamaa anaendelea na mkutano! Nimejifuta makalio naenda kumeza panadol na muarobaini nisubirie rehema za maulana!
Mkuu ina maana kwa kifupi kabisa ni kwamba mgomo unaanza mara moja au? Manake kama 99% wanasema hivyo kwenye siasa tungesema ni ushindi wa kishindo lakini kwa kwa kuwa ni afya zetu sijui nitumie neno gani. Ushindi wa kushindo hauswihi hapo. Labda tu unonimous decisiondakika ishirini zimependekezwa mvutano kidogo ulitokea,lakini asilimia tisini 99% wanaunga mgomo uanze mara moja,ikumbukwe huu mkutano unawakilishi kutoka hospitali zote zilizoshiriki mgomo kcmc,bugando,mbeya,dodoma,haw jamaa sio wababaishaji.
Kama nayoripoti ni ya uongo handsome report kwa mod nifungiwe.
sifanyi siasa na wajulisha jukwaa la great thinker ndio maana sitaji majina ya wachangiaji.
Mkuu si utani ninakuambia ukweli kabisa. Ningetaja hospitali na hata jina la dr. lakini si vyema.ebwana kitufe cha LIKE kimepotea duh