Hivi huko si ndiko kwa Bashe ambaye kimwili yupo Sisiem lakini kiroho yupo Ukawa?
Kwa nyomi hizo anazozipata Edo kila aendako nchini ni vyema maccm wakajiandaa tu kisaikolojia ili kukabidhi madaraka kwa amani ifikapo Oktoba mwaka huu.
Peoples sssssssssss Power tunasonga mbele , na hizo ni picha za kuchongaaaaaaa ? Watu wamechoka, CCM hamna jipya tunataka uhuru wa maendeleo, sio wa Umaskini, miaka 54 inatosha. Si tumeona Kenya ? Wanasema wenyewe, ingekuwa KANU Leo hii Nairobi isingekua na Superhighway na sisi tunataka hatutaki magumashi tena
Embu linganisha, kusifia chama na kusia watu. Peoples power haimaanishi ukawa au chadema, ila CCM oyeee ,moja kwa moja unasifia chama. Ishara ya vidole viwili inamaanisha amani sio chadema.
hao ni wale vijana wanaodhani lowasa akipata urais watakuwa ni matajiri wa ghafla pasi na kufanya kazi.... tunaojitambua na kufanya kazi huwezi kutukuta ktk ushabiki wa namna hiyo
Watu wanandoto za kipindi cha mzee. Ruksa, maisha ya kitajir kila mtanzania.
Me nashindwa kuelewa mpaka sasa watanzania hawaamini kuwa lowasa anaweza kuleta mabadiliko.watanzania tusiyumbishwe na watu wachache wasio kuwa na uchungu na nchi yao mabadiliko yanawezekana na mabadiliko hayo yanatoka nje ccm
Acha ushabiki na kujitoa ufahamu.Huduma za afya,kodi zisizokuwa na tija,mishahara duni,mikataba mibovu na mengine mengi ya kipuuzi yanayofanywa ma siaieM kama utamaduni wao.Mimi mwenyewe ninafanya biashara zangu na ninaweza kupotosha kwa kuongea pumba kama zako lakini kuna mapungufu yanayoonekana wazi lazima vijana wayakatae.Kwa pumba zako unadhani kila anayetaka mabadiliko ni mtu asiyejishughulisha?Nenda kafanyiwe upasuaji wa kichwa kisha waimwage hiyo haja iliyojaa kichwani ili ujue nini maana ya maendeleo ya kijamii na taifa ya kiuchumi.Mimi kama mfanyaniashara nategemea idadi kubwa ya watanzania iwe na kipato cha kutosha ili uchumi wangu binafsi na wa nchi uweze kuwa na tija.Na kijana atajishughulishaje bila kuandaliwa kwa ajili ya kuingia katika soko la ajira?Operation ya kichwa inakuhusu wewe ili uwe concious kama wapumbavu na malofa wengi wenye elimu zao lakini kazi hawapewi wanapeana vigogo na wapambe wao kama ninyi.
Mkuu unatokwa na povu kama mgambo kakuingilia sehemu yako ya kazi. Embu fafanua vizuri, kwa hiyo wewe kama mfanya biashara unataka usaidiwe au ufanyiwe mabadiliko gani? Kila mtu ana mahitaji yake. Ila kama unataka utajir atauleta tu kama alivyosema Mh. EL
....
.....hatari peoples