Poor timing, hiki ni kipindi cha kilimo atampata nani zaid ya watoto? Inabidi awe very strategic, watu wanaogopa njaa. si unajua walishawahi kufa kwa njaa kipindi fulani wakaambiwa wanarogana!!! Watoto wao wataiadhibu ccm hata kama mbunge aliyepo (kombani) alipita bila kupingwa