Hansen Nasli
JF-Expert Member
- Mar 18, 2012
- 883
- 338
Chama cha wazalendo @ACT-Wazalendo watakuwa na mkutano wa hadhara tarehe 10-04-2015 mjini Songea Mkoani Ruvuma. Wataingia Songwa kufyeka mapori ya unyonyaji Rushwa na mambo mengi na kuwajengea uzalendo wanamajimaji Songea ina historia kubwa katika kupigania uhuru sasa ACT imekuja kurudisha misingi iliyoasisiwa na waasisi wetu.