Nimemsikia huyo jamaa tena bila woga anasema waliwatuma kufanya doria!ila walichokipata ndo dawa ila kwa bahati mbaya wananchi wenye hasira hawakuwa na hasira!"Akizungumza leo Mkurugenzi wa Habari wa CUF, Abdul Kambaya amesema mlinzi huyo na wenzake walikwenda Mabibo kwa ajili ya kufanya doria" Chanzo: Mwananchi
Hivi inamaanisha CUF ya Lipumba ina mamlaka ya kipolisi ya kufanya doria? Au ndio maana wanapiga watu na hatua hazichukuliwi kwa sababu wanatambulika na vyombo husika vya kiusalama? (kauli hiyo ya msemaji huyo ikipita bila wahusika kuchukua hatua stahiki basi tena!!!)