Kiganyi
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 1,242
- 765
Source: wavuti - wavuti
Wamama wakishielewa cdm,oooh RIP CCM, mmezoea kuwatisha akina mama kuwa wakichagua upinzani kutakuwa na vita,wamambua hizo propoganda uchwala na kwamba kama ni vita mtaanzisha ninyi.Haiingii akilini eti upinzani wachaguliwe kisha waanzishe viti,hii hoja eti ritz haioni kuwa ni dhaifu anabaki kupambana na hoja za maana za viongozi wa cdmWakaziwa mji wa Lupiro katika jimbo la Ulanga Magharibi wakiitikia kibwagizo cha Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) cha "Poeples Power", wakati wa mkutano wa hadhara wa Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk. Willibrod Slaa. (Picha na Joseph Senga via Habari Mseto Blog)
Baadhi ya wakazi wa kijiji cha Ruaha katika jimbo la Ulanga Mashariki mkoani Morogoro, wakinunua kadi za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), mara baada ya mkutano wa hadhara wa Katibu Mkuu wa chama hicho, Dkt. Willibrod Slaa, ukiwa ni mwendelezo wa kampeni za Operesheni Sangara. (Picha na Joseph Senga via Habari Mseto Blog)
Source: wavuti - wavuti
2015 ni kuchukua nchi, si baadhi ya majimbo. Wacha walionunuliwa na bwana zao waendelee kugawa hela wakidhani watawanunua wajumbe wa vikao vya uwakilishi. 2015 hadanganyiki mtu.safi sana ongezeni juhudi makamanda,moro wamelala sana junahitaji japo majimbo manne 2015
CCM inakufa taratiiiiibu