PRINCE CROWN
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,211
- 4,170
sera za danganya wanawake,maana ndio mtaji wenu,
We vipi?. kila siku mnapiga kelele kulalamika hakuna maisha bora, CCM ikijidhihirisha kama kuna maisha bora na inawajari wanachama, wapenzi na mashabiki wake kwa kuwapa usafiri wa bure kwa vile uwezo inao napo mnaanza kulalamika.
CCM imewazoea watu kama nyie, malalamiko ndiyo sehemu ya maisha yenu. na ni sawa na chura kupiga kelele mtoni.
Mkuu kama uko Tanzania, kwani king'hamuzi chako hakikupata matangazo ya TBC. CCM haina propaganda za kuidanganya jamii kwa njia ya picha.sera za danganya wanawake,maana ndio mtaji wenu,
Kama sisi ni danganya wanawake, ninyi ni danganya nani?sera za danganya wanawake,maana ndio mtaji wenu,
Leo tumechoka sana kwa sababu tulikuwa tunajadili mkutano wa CCM. Mambo ya mkutano wa chadema itabidi tujadili kesho.
Chadema hebu acheni uhuni hii picha siyo mbugani.
je na ccm utasema sasa.....?sera za danganya wanawake,maana ndio mtaji wenu,
je na ccm utasema sasa.....?