gogo la shamba
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 6,669
- 2,165
kama majibu ulikuwa unayafahamu kwa nini uulize?Nilijua tu majibu kama haya hayatakosekana.
Vipi Zanzibar mtaenda kufanya mikutano mana kule mako chadema wapo mwambieni Mbowe na dr slaa waende chama ni chakitaifa au hamuwataki wazanzibar?
Anakusanya maoni ili ayapeleke wapi?
Dr Slaa na timu yake watakuwa huko siku si nyingi.Vipi Zanzibar mtaenda kufanya mikutano mana kule mako chadema wapo mwambieni Mbowe na dr slaa waende chama ni chakitaifa au hamuwataki wazanzibar?
Vipi Zanzibar mtaenda kufanya mikutano mana kule mako chadema wapo mwambieni Mbowe na dr slaa waende chama ni chakitaifa au hamuwataki wazanzibar?
Anakusanya maoni ili ayapeleke wapi?
Hii ndivyo ilivyokuwa Mbeya leo, Viwanja vya Dkt. Slaa. Mkutano wa CHADEMA, Mabaraza Huru ya Rasimu ya Katiba.
What???
maccm mafisadi wanyanyasaji bye bye
What???
maccm mafisadi wanyanyasaji bye bye
Anakusanya maoni ili ayapeleke wapi?
Dr Slaa mchana wa leo alikuwa pemba.Vipi Zanzibar mtaenda kufanya mikutano mana kule mako chadema wapo mwambieni Mbowe na dr slaa waende chama ni chakitaifa au hamuwataki wazanzibar?
Hii ndivyo ilivyokuwa Mbeya leo, Viwanja vya Dkt. Slaa. Mkutano wa CHADEMA, Mabaraza Huru ya Rasimu ya Katiba.