Mkutano wa chadema mbeya vijini(mbalizi)

Mkutano wa chadema mbeya vijini(mbalizi)

Na hiki ndicho kinachoipa CDM advantage kubwa dhidi ya vyama vingine. Kiongozi tu wa wilaya au mkoa anaweza fanya mkutano mkubwa bila kutegemea kiongizi wa taifa.

Hivi katibu wa wilaya wa CCM anaweza kuvutia umati namna hiyo? kuna chama kilimsubilia kiongozi mkuu zaidi ya mwaka ili kianze mikutano! Naamini Ukawa wakiweka ubinafsi pembeni, historia mpya itaandikwa ndani ya taifa hili mwaka huu.
 
nilishawahi kusema humu hata wewe useme leo kutakua na mkutano wa chadema watu watajaa tu

Hahahahahahahah Wamwambie Mwenyekiti Act akahubiri alipohubiri Jana bosi wake ZZK km atapata watu 10. Hio ndio Cdm. Hata mtoto mdogo akihutubia watu Nyomi.
 
Mbalizi ndio home mji unaongozwa na chadema sema 2010 shitambala alitusaliti sana.pigeni kazi vijana hakuna kulala wala kuwaachia wasaliti nafasi.hivi kiongozi mkuu wa chama flani haji kukinadi chama kipya huko mbeya
 
daaa wachangiaji wengi wanaonekana kuwapa hongera na kusema ACT anakibarua

wanasahau kazi kubwa ni kupambana na ccm

kwa hili naanza kuamini chadema na act wameanza kucheza muziki wa ccm bila wao wenyewe kujua......
 
Hakunaa Band wala Diamond hapo. Hio ndio chama kubwa Cdm. CCM na Mke wenu mtajuta.
 
Back
Top Bottom